• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WASIMAMIZI WA VITUO NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGA KURA WASISITIZWA KUWAPA KIPAUMBELE WENYE MAHITAJI MAALUMU

Imewekwa: October 26th, 2025

                               

Na, Edigar Nkilabo – Sikonge DC


Wasimamizi wa vituo na Wasimamizi wasaidizi wa vituo vya kupigia kura Jimbo la Sikonge wametakiwa kutoa kipaumbele kwa kundi la watu wenye mahitaji maalumu wakati wa zoezi la kupiga kura tarehe 29 Oktoba, 2025.

Hayo yamesemwa na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Sikonge Mwl.Benjamin Mshandete wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Wasimamizi wa vituo na Wasimamizi wasaidizi wa vituo vya kupigia kura.

“Natoa wito kwenu nyote siku ya uchaguzi mtoe kipaumbele kwa watu wenye mahitaji maalumu kama wajawazito, wenye ulemavu, wazee na wanaonyonyesha ili na wao wapate fursa ya kuchagua viongozi wanaowataka na hili si takwa langu mimi bali ni utekelezaji wa taratibu, kanuni na miongozo ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi”

“Aidha kagueni vifaa vyote mtakavyokabidhiwa na kujiridhisha kama kila kitu kipo kwa ajili ya siku ya uchaguzi, sio aje mpiga kura siku hiyo mtu aanze kulalamika kunakitu hakipo”aliongeza Mwl.Mshandete.

Naye Afisa Uchaguzi Ndg.Geofrey Hamis ametoa rai kwa Wasimamizi wa vituo na Wasimamizi wasaidizi kuzingatia mafunzo wanayopatiwa na maelekezo yote ya Tume Huru ya Taiifa ya Uchaguzi ili waweze kufanya kazi kwa weledi na ufanisi.

“Sikilizeni kwa makini ambapo hamjaelewa ulizeni maswali ili ukitoka hapa uwe vizuri kwa ajili ya kutimiza majukumu ya INEC.Jingine ni kuviishi viapo vyenu kwa kuzingatia sheria, kanuni ,taratibu na miongozo ya tume yaani hatutarajii kuona mtu anakiuka maelekezo ya tume”alisema .

Mafunzo hayo yamefanyika katika kumbi mbalimbali ikiwemo ukumbi wa  Mwanambuya, ukumbi wa Elimu maalumu na Shule ya sekondari Kamagi ambapo Wasimamizi wa vituo na Wasimamizi wasaidizi wa vituo vya kupigia kura wapatao 1353 wamehudhuria mafunzo hayo tayari kwenda kusimamia uchaguzi mkuu Oktoba 29, mwaka huu.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WATOTO WA UMRI WA MIAKA 5 HADI 14 WILAYANI SIKONGE WAMEZESHWA DAWA KINGATIBA

    February 04, 2026
  • WALIMU WAJENGEWA UWEZO KUHUSU UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    February 04, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA REDIO JAMII (SIKONGE FM) KWA SHILINGI 190,455,100/= ZINAZOTOKANA NA MAPATO YA NDANI Na, Edigar Nkilabo – SikongeDC Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imekamilisha mradi wa ujenzi wa Kituo cha

    January 29, 2026
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO (FUM) HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPONGEZA KASI NA UBORA WA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 28, 2026
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa

  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • yamitoto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • yamitoto
  • slot gacor
  • axl777
  • situs toto
  • dora77
  • slot gacor
  • situs toto
  • dora77
  • situs toto
  • axl777
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • dora77
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • situs toto
  • yamitoto
  • nabitoto
  • nabitoto
  • koi200
  • slot gacor
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • axl777
  • situs toto
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • >
  • situs toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • situs toto