• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

DC SIKONGE ATEMBEA NYUMBA KWA NYUMBA KWA WANUFAIKA WA TASAF.

Imewekwa: September 30th, 2022


Sikonge_Tabora


Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe.John Palingo ametembelea kaya za wanafatilia ambao wananufaika wa Mpango wa Serikali kunusuru kaya Masikini(TASAF) kutazama mwenendo wa maisha yao na jinsi wanavyotumia fedha hizo kuzalisha na kukuza kipato.

DC Palingo amewasisitiza wananchi kuzitumia fedha hizo  kwa Uzalishaji ili kujiongezea kipato.


"Fedha hizi zina ukomo wake , lengo la Serikali ni kuwawezesha kujikwamua kiuchumi, mnapopata fedha hizi pamoja na mahitaji mengine nunua kuku, Mbuzi au hata Kodi Shamba ili Ulime ambapo shughuli zote hizi zitakuongezea kipato na kupiga hatua mbele kimaendeleo" amefafanua.


Kwa Upande wao badhi ya Wananchi wameishukuru Serikali ya awamu ya Sita kwa kuendelea kuwapatia fedha hizo kwani zimewanufaisha.


"Namshukuru Rais Samia kupitia fedha hizo nimenunua bati nikajenga nyumba nimenunua godoro na ninafuga Mbuzi na Kuku" Bi.Asha Rashid Mkazi wa Kiloli.


Namshukuru Mama Samia kupitia fedha za TASAF nimekodisha Shamba kwa ajili ya Kilimo, nimenunua mahitaji ya Wanafunzi ninaowalea hapa nyumbani Daftari na Sare za shule, kwa kweli sihangaiki Namshukuru sana" Mkazi wa Kijiji Cha Mwitikio, Mnufaika wa TASAF.


#kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA November 15, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA UJUMBE WA KAMATI YA HUDUMA ZA AFYA January 30, 2023
  • TANGAZO LA KUUZA VIWANJA KATIKA ENEO LA VIWANDA February 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA UWAKILISHI WA JUMUIYA YA HIFADHI WANYAMA PORI IPOLE March 03, 2022
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA SIKONGE KAZINI UKAGUZI WA MIRADI

    January 20, 2023
  • MITAMBO YA KURUSHA MATANGAZO YA TBC KUIMARISHWA NDANI YA SIKU 7 SIKONGE.

    January 10, 2023
  • HERI YA MUHULA MPYA WA MASOMO 2023

    January 09, 2023
  • PIKIPIKI 20 ZAGAWIWA KWA WATENDAJI WA KATA.

    January 03, 2023
  • Angalia zaidi

Video

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: +255262965732

    Simu: +255262965732

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa