• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

CCM KAZINI SIKONGE

Imewekwa: June 29th, 2019

CCM KAZINI SIKONGE

Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tabora, Majaliwa Bilali atembelea mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Sikonge leo. Mradi huu ni miongoni mwa miradi inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dakt. John Pombe Magufuli katika Halmashauri 67 zilizopewa kila moja jumla ya Tsh. Bilioni 1.5 ambapo kila Halmashauri ilipewa muda hadi kufikia tarehe 30 Juni 2019 kukamilisha ujenzi huo.

Katibu huyo aliambatana na viongozi mbalmbali akiwemo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya, Bi. Anna Chambala, Katibu wa CCM Wilaya, Bwa. Emmanuel Mhene na Mwenyekiti wa Halmashuri ya Wilaya ya Sikonge, Mhe. Peter Nzalalila pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo.

Aidha, Katibu Mwenezi alipongeza juhudu zinazofanyika katika ujenzi huo na kuwataka viongozi wanaosimamia kukamilisha mradi huu kwa wakati ili wananchi wapate huduma iliyobora pamoja na changamoto zinazojitokeza katika kutekeleza mradi huu. Pia aliwataka viongozi wa Halmashauri kujenga uhusiano mzuri na viongozi wa CCM Wilaya ili kushirikiana kwa pamoja katika kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Mwaka 2015.

“Kama Injinia, wewe ndiye msimamizi wa shughuli zote za ujenzi zinazoendelea pale na Mganga Mkuu wa Wilaya ndiye mwenye Majengo yale, tujitahidi tunapotembelea mradi huu ili kupata taarifa tusiishie tu kwa wasimamizi wa majengo haya bali tusikilize na kero zinazowakuta vibarua wanaofanya kazi eneo hilo….” alisema Katibu huyo ili kutatua kero zinazosababisha ujenzi kususua kutokana na kutolipwa fedha zao kwa wakati. Hali hii imejitokeza katika eneo la mradi baada ya vibarua kuandamana na kutoa malalamiko yao kwa kiongozi huyo.

Naye Mhe. Peter Nzalalila, alishukuru kwa ujio wa Kiongozi huyo na kuahidi kusimamia maelekezo na maagizo hayo ili kukamilisha ujenzi huo kwa wakati pia aliwaomba viongozi wanaosimamia ujenzi kumpa taarifa yoyote yenye kupelekea ujenzi kususua au kukwama ili kwa pamoja washirikiane kuitatua. Baada ya hapo viongozi waliongozana kwenda katika kikao kingine cha Chama cha Mapinduzi (CCM).


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA TEHAMA SIKONGE @2019

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPATA HATI INAYORIDHISHA TAARIFA YA UKAGUZI YA MWAKA 2023/2024

    June 14, 2025
  • UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA WAPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO KUTOKA 74% HADI 43% WILAYANI SIKONGE

    June 13, 2025
  • VIJIJI 16 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE KUNUFAIKA NA PROGRAMU YA UANDAAJI WA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI

    June 06, 2025
  • WALIMU ZAIDI YA 200 WA SHULE ZA MSINGI WILAYANI SIKONGE WAPEWA MAFUNZO YA KUFUNDISHA SOMO LA KIINGEREZA.

    May 21, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa